HIZI NDIZO NCHI ZINAONGOZA KWA KASI YA INTERNET YA 4G DUNIANI

Huduma ya internet ya mtandao wa 4G imekuwa ikisambaa kila kona ya dunia kwa sasa na kufanya watu kuenjoy kupata huduma za Internet kwa Haraka.
Image result for 4G INTERNET


Kwa Bongobongo Mitandao ambayo tayari imeshaingia katika huduma ya 4G network ni kama Vodacom, Tigo, Zantel na TTCL, mbali na kuwa na mitandao hiyo ambayo inatoa huduma ya 4G, hizi ndizo nchi kubwa Duniani ambazo zinatoa huduma ya 4G kwa kasi ya 45.9 Mbps hadi 34.9 Mbps

HIZI NDIZO NCHI TANO AMBAZO ZINATOA HUDUMA YA 4G KWA KASI KUBWA 2016

1.Singapore, 45.9 Mbps
2.South Korea, 45.8 Mbps
3.Hungary, 40.6 Mbps
4.Romania, 35.6 Mbps
5.New Zealand, 34.9 Mbps


0 comments:

Post a Comment