FA JUU YA ADHABU KWA JOSE MOURINHO:

Kocha wa Manchester United Jose Mourinho "THE SPECIAL ONE" huenda akapigwa faini na shirikisho la mpira la soka Uingereza FA, wiki kadhaa zilizopita wakati manchester united walipokuwa wanaelekea kupambana na mahasimu wao Liverpool Jose Mourinho alizungumza kuhusiana na refalii Anthony Taylor ambae ndiye aliekuwa anastahili kuchezesha mechi hiyo ya mahasimu hao.

Image result for jose mourinho on press united

Jose mourinho alizungumza maneno ambayo wazi yalionekana kuwa hayakuwa mazuri juu ya muamuzi Anthony Taylor kuelekea mchezo huo liverpool vs manchester united. 

mourinho alizungumza haya

"I have my view but i understood and i learned a lesson by being so many times by FA for saying some words about referees. 

"I think Mr. Taylor is a very good referee.But i think  somebody with intention is putting such pressure on him that i feel it will be difficult for him to have a very good performance."

Adhabu ya Jose mourinho inatokana na sheria zilizopo nchini uingereza na shirikisho la soka FA, kwa sheria za Uingereza makocha hawaruhusiwi kuzungumzia wahamuzi kabla ya mechi, hivyo basi Mourinho anahitajika kutoa majibu kwa upande wake wa utetezi kabla ya 31 october 6pm hili haweze kupewa faini.

0 comments:

Post a Comment