MANCHESTER UNITED YATINGA ROBO FAINALI MICHUANO YA FA

3175DA7F00000578-0-image-a-42_1456173819138

Timu ya Man united jana imefanikiwa kuingia hatua ya robo ya michuano ya FA baada ya kuitwanga ShrewsBury mabao 3-0.

Magoli hayo yalifungwa kupitia wachezaji Chris smallimg, Juan Mata na Jesse Lingard
317605A000000578-0-image-a-47_1456175479139

Man United inajiandaa kukutana na West Harm katika hatua ya robo fainali ambapo mechizo zitashuka Dimbani mwezi Marchi 11 na 14 mwaka huu

0 comments:

Post a Comment