TCRA-VIDEO YA ZIGO REMIX NI RUKSA KUCHEZWA USIKU SAA 3-11.30 ASUBUHI



Video ya Remix ya Wimbo wa Zigo imepewa ruhusa ya Kuchezwa usiku katika luninga za Bongo kwa mujibu wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA)

Taarifa hiyo iliyotolewa na TCRA ilikuwa kwenye ukurasa wa Twitter kujaribu kumwelesha msanii AY juu ya swala hiyo ya video ya Zigo remix kurushwa usiku katika luninga za nchini Tanzania







0 comments:

Post a Comment