Agness aliweka wazi sababu ambayo inamfanya Tecno kukanusha kuwa hana mahusiano ya kimapenzi na Agnes ni kuhusiana na kuona wivu baada ya Agnes kuwa na ukaribu na msanii mwingine kutoka Nigeia Davido.
Hiyo ni picha ambayo aliposti Masogange akiwa na msanii Davido wakila bata na kuiandikia picha hiyo caption ya
"Kumbe brother alipaniki kitambo kisa OBO Baddest" alisema Agnes na baada ya mda aliitoa picha hiyo.
0 comments:
Post a Comment