JAY Z NA BEYONCE WAONESHANA MAHABA JUKWAANI

Mastaa hawa wa muziki ambao pia ni mke na mume, Jay na Beyonce walipeana mahaba jukwaani kwenye tamasha la Tidal x:1020 lilofanyika jana, jijini New york.



Jay na Beyonce walishindwa zuia hisia zao walipokuwa jukwaani na kuamua kuoneshana mahaba.

Wawili hao ambao wana mtoto wao aitwaye Blueivy.


0 comments:

Post a Comment