HACKERS WAMEGUNDUA PASSWORD YA MMILIKI WA MTANDAO WA FACEBOOK NI "DADADA"

Mark Zuckerberg's social media accounts have been hacked by Saudi-based group OurMine. The group has claimed responsibility for accessing the Facebook founder's Twitter and Pinterest accounts, using the hacked accounts to post messages claiming responsibility
The Saudi-based group of hackers reportedly behind the hacks, OurMine, used the compromised accounts to post messages alerting Zuckerberg to the hack. On Twitter (pictured), the group confirmed it obtained the password through the recent Linked in password dumpZuckerberg's Pinterest account @Zuck proclaiming 'Hacked By OurMine Team' (pictured)

Mmiliki wa Facebook Mark Zuckerberg ameripotiwa na Kundi la Hackers ambao wameweza kugundua password za mitandao yake ya kijamii ambayo ni Twitter pamoja na Pinterest.

Kundi hilo ambalo linajiita OURMINE liliweza kupost ujumbe kupitia mtandao wa Twitter wa Zuckerberg kwamba wameweza ku Hack hiyo ya Twitter.


Moja ya sababu zilizowafanya Hackers hao kuweza kugundua password za Mark zuckerberg ni kwamba hutumia password za aina moja kwenye mitandao yake ya kijamii.

CEO huyo wa Facebook hutumia password ya dadada ambayo wameweza kuiona kwenye mtandao wa Linkeldin, Hii si mara ya kwanza Mmiliki huyo kuripotiwa kwa account zake Kuhackiwa.

0 comments:

Post a Comment

Today Is Monday, May 5.