PICHA NA MILLARD AYO
Kwenye hatua ya mwanzo ya 16 bora ya michuano ya kombe la shirikisho barani afrika yanga imeweza fanya vizuri kwa kujipatia ushindi huo wa mabao 2-0
yanga ambao walipangwa na GD Esperanca baada ya kutolewa na Al Ahly ya Misrijumla ya goli 3-2 katika michuano ya klabu Bingwa barani Afrika
0 comments:
Post a Comment