Dangote Tomato Processing Factory, kiwanda kipya kinachomilikiwa na tajiri namba moja Afrika, Aliko Dangote kimefungwa baada ya kukosekana kwa mali ghafi muhimu – nyanya.
Mkurugenzi Mtendaji wa kiwanda hicho, Abdulkadir Kaita, ameviambia vyombo vya habari kuwa baadhi ya mashamba ya nyanya yaliyopo kwenye majimbo ya Kano, Jigawa, Plateau, Katsina na
Kaduna, yameathiriwa na mdudu aitwaye Tuta Absoluta aliyeharibu nyanya kwenye mashamba yote na kupelekea upungufu mkubwa wa zao hilo.
Kaduna, yameathiriwa na mdudu aitwaye Tuta Absoluta aliyeharibu nyanya kwenye mashamba yote na kupelekea upungufu mkubwa wa zao hilo.
Kaita alidai kuwa uzalishaji utaanza tena katika msimu ujao
0 comments:
Post a Comment