PICHA ZA AZAM FC WAKIWA UWANJA WA AIRPORT DAR ES SALAAM KUELEKEA KUIKABILI BIDVEST WIST YA AFRIKA KUSINI


Asubuhi ya leo March 9 Klabu ya Azam FC imesafiri kuelekea Afrika Kusini kwa ajili ya kucheza mchezo wake wa kwanza wa Kombe la shirikisho barani Afrika dhidi ya klabu yaBidvest Wits ya Afrika Kusini, utakaochezwa weekend hii na wiki mbili baadae kurudiana uwanja wa Taifa Dar Es Salaam.

Hizi ni picha za Azam FC wakiwa Airport kwa ajili ya safari


IMG-20160309-WA0035

IMG-20160309-WA0013

IMG-20160309-WA0014

IMG-20160309-WA0022

Picha na millardayo.com

0 comments:

Post a Comment

Today Is Sunday, March 16.