BARNABA AMEHAIRISHA KUTOA WIMBO WA "NAKUTUNZA" IFIKAPO IJUMAA, KUTOKANA NA JOTO LA UCHAGUZI

Kupitia mtandao wa Habari wa Bongo5 umeeleza kuwa msanii Barnaba classic hatoweza kuachia ngoma yake mpya ya "NAKUTUNZA" ambayo kamshirikisha msanii kuttoka Uganda Jose Chameleone ambayo ilipangwa kutolewa October 30.

Barnaba aliiambia Bongo5, kuwa chaanzo ambacho kimemfanya kutoiachia ngoma yake hiyo mpya ni kutokana na joto la uchaguzi linaloendelea nchini.

Barnaba c

"Management yangu imeamua kuhairisha kutoa wimbo ijumaa tarehe 30 kwasababu ya uchaguzi tumeona tuupe gap kidogo, kwahiyo napenda niwaambie watu samahani kwasababu watu walikuwa kwenye attention" Alisema Barnaba.
 "Lakini ijumaa hii nita release maneno ya verse moja na chorus kwenye mitandao"alimalizia Barnba

0 comments:

Post a Comment

Today Is Tuesday, April 29.