KWAHERI FIFA BALLON D'OR

Picture of the prestigious Ballon d'Or award which was awarded to AC Milan's Brazilian midfielder Kaka, taken 02 December 2007 in Boulogne-Billancourt outside Paris. Born under the name of Ricardo Izecson dos Santos Leite, he succeeds Italy's World Cup winning captain and defender Fabio Cannavaro and comes two years after the last Brazilian winner of the trophy, Barcelona's Ronaldinho. The 25-year-old Kaka notably played a starring role in AC Milan's triumphant Champions League campaign scoring 10 goals and setting up the winner for Filippo Inzaghi in the final against Liverpool. AFP PHOTO PIERRE VERDY (Photo credit should read PIERRE VERDY/AFP/Getty Images)
Christiano Ronaldo anaweza kupata mshituko wa moyo akisikia jambo hili kuwa linataraji kufika mwisho.
Mwisho wa Ballon d’Or unakaribia kuisha Baada ya Shirikisho la Soka Duniani-FIFA na Shirikisho la Soka la Ufaransa-FFF kumaliza mkataba wao.
FIFA Ballon d’Or ilitambulishwa mwaka 2010 kama jina rasmi la tuzo ya Mchezaji Bora wa Dunia kufuatia makubaliano na FFF. Hata hivyo, tuzo za mwaka huu zinaweza kuwa za mwisho za aina yake kufuatia Ufaransa kuchukua umiliki wa jina lao na kuhamisha mji mwenyeji kutoka Zurich.
Kumalizika kwa mkataba huo kunamaanisha kuwa sasa tuzo hizo zitatumia jina lake halisi la Mchezaji bora wa Dunia huku rais wa FIFA Gianni Infantinho na maofisa wengine wakijaribu kutafuta jina muafaka kwa ajili ya sherehe hizo. Kutokana na hilo, FIFA imesema inaangalia uwezekano wa kuhamisha tukio hilo katika miji tofauti kila mwaka

0 comments:

Post a Comment