TANI 4579 ZA SUKARI ZAKAMATWA DAR ES SALAAM

Baada ya Raisi John Pombe Magufuli kufanya msako wa kubaini wafanya biashara wanao ficha sukari  kwa makusudi, sasa zaidi ya Tani 4570 zimekamatwa jijini Dar es salaam.



Kwa mujibu wa TBC One, taarifa ya Mkurugenzi wa Utafiti wa taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa nchini TAKUKURU, imebaini uwepo wa sukari iliyonunuliwa kutoka kiwanda cha sukari cha Kilombero na kufichwa katika maghala mbalimbali jijini Dar es Salaam.
Mfanyabiashara huyo ameficha sukari hiyo Mbagala na Tabata na kuwafanya wafanyabiashara wa reja reja kuikosa.

0 comments:

Post a Comment