MAN CITY NA REAL MADRID ZASONGA MBELE MICHUANO YA KLABU BINGWA ULAYA

article-3536466-331CB80A00000578-11_964x390

Timu ya Manchester city na Real madrid zimefanikiwa kusonga mbele kwenye hatua ya nusu fainali ya michuano ya klabu bingwa ulaya baada ya Manchester city kuipa kipigo cha bao 1-0 Psg.

Real Madrid nayo imetembeza kipigo cha mabao 3-0 kwa Wolf-sburg baada ya Christian rolnado kufunga mabao matatu peke yake katika mchezoarticle-3536415-331CE90D00000578-6_636x382

Michuano hii itaendelea tena leo Jumatano, ambapo Benefica itamenyana Bayern huku Atletico madrid ikishuka dimbani na Barcelona

0 comments:

Post a Comment