Picha mpya za Justin bieber akiwa mtupu zasambaa mtandaoni (18+)

Wengi tunajua Wanamuziki na mamodo wa kike asilimia kubwa huwa wanapiga picha za utupu kwa ajili yakutumika kwenye majarida mbalimbali ili kuwaingiziza mkwanja mnene, Justin Bieber ameonesha tofauti baada ya kupiga nae picha za utupu zilizo sambaa mitandanoni kila kona

jb-2

hizo ni mojawapo za picha za staa huyo wa miondoko ya Pop baada ya kusambaa kwenye mitandao na kuwacha mashabiki midomo wazi
jb-1

Jarida la Hoffing Post lilisema picha hizo zilipigwa na Camera yenye lenzi ya kuchukua matukio ya mbali ambapo alikuwa katika mapumziko huko Bora Bora akiwa na model Jayde peirce

jb-5

jb-6

huyo ni mwanadada jayde perce ni modo aliyekuwa na justin beaber

0 comments:

Post a Comment