Ushindi wa Tuzo ya Best worldwide Act kutoka MTV EMA imezidi kumpa heshima mwanamuziki Diamond platnumz na kumfanya Kuandikwa kwenye mitandao mikubwa Duniani kama Billboard.com ya Marekani pamoja na Dailymail.co.uk ya uingereza
Diamond platnumz bado anazidi kuiwakilisha Tanzania kupita muziki wa Bongo fleva na kufanya nchi kuzidi kujulikana Kimataifa zaidi.
0 comments:
Post a Comment